hii ndiyo hali halisi wa maendeleo ya sayansi na teke linalokujia(samahani)teknolojia.tuitumie jamani
Wednesday, January 10, 2007
jamani naomba msaada,ningependa orodha ya blog ninazozipenda zionekane katika ukurasa wangu lakini nimejaribu sana tena tena sana lakini ola sasa mnishauri nifanye nini ili hilo liwezekane,ningependa ukurasa wangu uonekane kama ule wa Mwandani au bwana Egidio na wengine.
1 comment:
Ulifuatilia maelezo niliyokupa?
Post a Comment